Tuesday, May 15, 2012

NJEMBA AMWINGILIA BATA MZINGA MPAKA KUFA

Kama ulisikiliza hekaheka za leo katika leo tena!!Hii imetokea hapahapa Dar es salaam jana asubuhi njemba imekutwa ikimuingilia bata mzinga mpaka akafa.Alimtoa bata kwenye banda na kuingia nae chumbani kwake na kumfanya hicho alichomfanya.
Hapa hali ilikuwa imeshatulia shwari mida ya saa saba ila asubuhi mitaa hii ilikuwa imefunga watu wamejaa kushangaa tukio hilo.
Bata huyo ni wa famili yake na jamaa aliweza kupiga bao zake tatu duuuuh.Alipokutwa hakukataa alielezea kila kitu kuwa alikuwa kazidiwa.Wananchi walimbeba mzobemzobe na kumpeleka kituo cha polisi sasa hapo siji mshitaki atakuwa nani??!!
Wananchi hawamtaki mtaani kwao asije akawabakia watoto buree.

No comments:

Post a Comment