Leo 
asubuhi maeneo ya chuo kikuu cha Dar es salaam kitivo cha Elimu DUCE mkabala na 
Kambi ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT Mgulani katika barabara ya Chang'ombe Camera 
yetu imenasa tukio la kibaka huyu ambaye amekutwa akiwa ameuwawa huku 
tairi likiwa linawake pembeni. inasadikiwa alikutwa katika nyumba za jirani na 
eneo hilo akitaka kuiba hivyo wananchi wenye hasira kali wakamkamata na kumpiga 
na kuchoma tairi ili kumuunguza, hata hivyo haijulikani nani alimuokoa asiungue 
na tairi hilo japokuwa amepoteza maisha
Wanafunzi wakiushangaa mwili wa 
kibaka huyo aliyepigwa na wananchi wenye hasira na kuuwawa wakati akitaka kuiba 
katika moja ya  nyumba kwenye eneo hilo.
 
No comments:
Post a Comment