![]() |
| Kosi la AZAM |
![]() |
| Kosi la YANGA |
![]() |
| Mashabiki wa timu ya Yanga wakishangilia mara baada ya timu yao kupata goli la kuongoza katika mchezo huo. |
![]() |
| Timu zikiingia uwanjani kuanza mpambano huo. |
![]() | ||
| Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam akielekea kukagua timu kabla ya mchezo huo kuanza kulia ni , Crecentius Magori kushoto Makamu Mwenyekiti wa timu ya Yanga Clement Sanga na katikati ni Mwenyekiti wa Azam FC mzee Mohamed Sai. |
![]() |
| Wachezaji wa yanga wakishangilia bao la kuongoza |
![]() |
| ni shangwe mbaya |
![]() |
| Said Bahanuzi wa yanga akimtoka beki wa azam Aggrey Moris |
![]() |
| Kiiza mzigoni akiatoka mlinzi wa azam Jabir Aziz,ambapo aliwapatia yanga bao la kwanza dakika ya 44 kipindi cha kwanza |
![]() |
| ilikuwa mshikemshike |











No comments:
Post a Comment