![]() |
Kosi la AZAM |
![]() |
Kosi la YANGA |
![]() |
Mashabiki wa timu ya Yanga wakishangilia mara baada ya timu yao kupata goli la kuongoza katika mchezo huo. |
![]() |
Timu zikiingia uwanjani kuanza mpambano huo. |
![]() | ||
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam akielekea kukagua timu kabla ya mchezo huo kuanza kulia ni , Crecentius Magori kushoto Makamu Mwenyekiti wa timu ya Yanga Clement Sanga na katikati ni Mwenyekiti wa Azam FC mzee Mohamed Sai. |
![]() |
Wachezaji wa yanga wakishangilia bao la kuongoza |
![]() |
ni shangwe mbaya |
![]() |
Said Bahanuzi wa yanga akimtoka beki wa azam Aggrey Moris |
![]() |
Kiiza mzigoni akiatoka mlinzi wa azam Jabir Aziz,ambapo aliwapatia yanga bao la kwanza dakika ya 44 kipindi cha kwanza |
![]() |
ilikuwa mshikemshike |
No comments:
Post a Comment