Wednesday, May 8, 2013

HATIMAYE JA RULE ATOKA GEREZANI, STORY NA PICHA HIZI HAPA

Hivi ndiyo Ja rule alivyotimba uraiani ambapo amekaribishwa poa na mke wake, Aisha Murray ambaye ndiye aliyemchukua mara tu baada ya kuachiwa na sasa atalazimika kumalizia adhabu yake kwa kifungo cha nyumbani mpaka Julai 28.

Awali rapa huyu alipanga kuwa siku atakayoachiwa ataingia moja kwa moja katika tour ya dunia kwa ajili ya kuwafikishia mashabiki ujumbe kuwa amerudi kwa kasi, lakini mpango huu haukuwa kama ulivyopangwa.


Msanii huyu alitiwa kifungoni kwa makosa mawili #Kukwepa kulipa kodi na #Kukamatwa akiwa anamiliki .silaha (bastola) kinyume cha sheria

No comments:

Post a Comment