

![]() | ||
Mchezaji wa azam fc Khasim Mcha akipimana ubavu na Shomari Kapombe wa simba sport club mapema jioni ya leo |
![]() | |||||||||
Wachezaji wa simba,Felix Sunzu(aliyeshika mpira) na Haruna Moshi wakijiandaa kuanza mchezo baada ya kufungwa goli la kwanza |
![]() | |
Mchezaji wa azam fc Kipre Tchetche akiwazungusha mabeki wa simba mapema jioni la leo ambapo azam walishinda 3-1 |
![]() |
Kipa wa azam fc Deogratius Munisi akiondoa hatari kwenye lango lake mapema leo |
No comments:
Post a Comment