Tuesday, July 17, 2012

YANGA YAFANYA VIZURI ;YAICHAPA EL-SALAM WAU 7-O

 Kiiza ametupia anasepa
 Mtakatifu Tom akiwapa 'sumu' vijana
 Wanaume wanaingia uwanjani
 Mishemishe za mabao lango mwa Waw Salaam

 Bahanuzi (hayupo pichani) ametupia
 Bahanuzi akiwa chini baada ya kuumizwa na kipaKhamis Leon kulia, huku refa Issa Kagabo akimuangalia
 Bahanuzi ametupia kiulaini huyo kwenye lango

 Bahanuzi akishangilia bao lake la kwanza na Kiiza nyuma
 Oliver Paul Kangi wa Waw akimiliki mpira mbele ya wachezaji wa Yanga, Haruna Niyonzima, Stefano Mwasyika na Athumani Iddi
 Bahanuzi akishangilia la pili
 Wachezaji wa Yanga wakimpongeza Bahanuzi
 Refa akiwarudisha Yanga baada ya bao la sita
 Mwasyika anatia krosi
 Kikosi kilichoanza Yanga, kutoka kulia waliosimama Nadir Cannavaro, Kelvin Yondan, Yaw Berko, Said Bahanuzi, Athumani Iddi na Oscar Joshua. Waliochuchumamaa kutoka kulia Hamisi Kiiza, haruna Niyonzima, Godfrey Taita, Stefano Mwasyika na Nizar Khalfan.
 Yanga wakisherehekea karamu ya mabao


 Kikosi cha Waw Salaam kilichoanza

No comments:

Post a Comment